PICHA ZA MATUKIO KATIKA MAKAMBI
MAKAMBI MAKAMBI MTAA WA TEMEKE
Mhutubu mkuu:Pr.Njuguri kutokea nchini Kenya
Motto: Jiandae kukutana na mungu wako
Fungu kuu: Math 25:13
Injili inaendelea kupigwa ,shetani aendelea kudondoshwa chini ,ni msimu wa makambi leo tumekuja na taarifa hii fupi kutoka katika makambi mtaa wa ilala,wakiwa na ugeni wa pastor aliyetokea nchini Kenya,
Kwaya ngeni
Kwaya kutoka nchini Malawi
Kwaya ya waadventista wasabato Temeke
Kwaya ya waadventista wasabato Keko
Tazama picha matukio kutokea ilala
Na .mwandishi wako Emanuel
![]() |
Washiriki wakiwa kambini |
![]() |
Kwaya ya waadventista wasabato Temeke |
Imeletwa kwako na mr adobe tv kupitia mwandishi wake mr Emanuel
Maoni
Chapisha Maoni
THANKS FOR COMMENTING
Name:
Where are you comming from:
Mobile no.:
Comment: